Natafuta simu ya kununua aina ya androd

Natafuta simu ya kununua aina ya androd

Tujisahihishe Tz

Platinum Member
Joined
Nov 17, 2011
Posts
3,050
Reaction score
1,359
Husika na kichwa cha habari hapo juu natafuta simu ya kununua aina ya androd bei niliyonayo ni laki moja cash aliyonayo aniPM
 
Simu aina ya android?? Mimi sio mtaalam lakini hakuna simu aina ya android. Hio ni operation system tu
 
Simu aina ya android?? Mimi sio mtaalam lakini hakuna simu aina ya android. Hio ni operation system tu
±±±±±±±±±±
Anatafuta simu ya ANDROD
±±±±±±±±±±
Husika na kichwa cha habari hapo juu natafuta simu ya kununua aina ya androd bei niliyonayo ni elfu themanini cash aliyonayo aniPM mi nipo Dodoma

Mkuu unataka uoshee Instagram na simu yako ya androd nini?
 
±±±±±±±±±±
Anatafuta simu ya ANDROD
±±±±±±±±±±


Mkuu unataka uoshee Instagram na simu yako ya androd nini?

Hahahahh. Nahisi alitaka kuandika 'Smartphone', keyboard iliteleza. Kama unayo mpe BURE tu bro, mtu mwenye hana pesa ndefu. Nina Galaxy S1 naweza kumpa bure
 
Hahahahh. Nahisi alitaka kuandika 'Smartphone', keyboard iliteleza. Kama unayo mpe BURE tu bro, mtu mwenye hana pesa ndefu. Nina Galaxy S1 naweza kumpa bure

Ningekuwa nayo ningemuuzia kwa bei hyo ANDROD ni toleo jipya nimetafuta town nimezikosa!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom