Mkuu umenikumbusha Nokia Jeneza, hiyo mashine ilinipatia demu mmoja mkali sana.
Alitokea kuipenda sana simu yangu, ikawa mwanzo wa kufahamiana mpaka nikamkula.
Nenda vodashop wanasimu zile za vodafone smartphone za elfu 70 na 80.
Pia kama unaamini mitumba nenda kwenye maduka ya mitumba kariakoo ila wakupe warranty atleast 1 month.
Nenda vodashop wanasimu zile za vodafone smartphone za elfu 70 na 80.
Pia kama unaamini mitumba nenda kwenye maduka ya mitumba kariakoo ila wakupe warranty atleast 1 month.