Natumaini mmeamka salama, kulingana kichwa cha habari hapo juu Naomba kwa yeyote anayejua shule nzuru ada yake iwe milioni moja kuja chini anijulishe, pia kama ana mawasiliano ya shule anipe. Nawatakia asubuhi njema.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app