Natafuta shule ya kufundisha sekondari

Natafuta shule ya kufundisha sekondari

Albert Einstein

JF-Expert Member
Joined
Aug 24, 2017
Posts
394
Reaction score
583
Habari zenu watanzania
Mimi ni mhitimu wa stashahada ya ualimu wa secondari kwa masomo ya Fizikia na Hisabati
Kama kuna shule inahitaji mwalimu wa masomo hayo tuwasiliane..
+255620450069
Ahsanteni.
 
Siku ukijua kuwa ajira ni utumwa ndio utakuwa mwanzo wako wa kukombolewa kiakili
 
Habari zenu watanzania
Mimi ni mhitimu wa stashahada ya ualimu wa secondari kwa masomo ya Fizikia na Hisabati
Kama kuna shule inahitaji mwalimu wa masomo hayo tuwasiliane..
+255620450069
Ahsanteni.
Ulihitimu mwaka gani kozi yako ya ualimu na chuo gani?
 
Back
Top Bottom