Dseni
Member
- Aug 13, 2012
- 40
- 52
Natafuta shamba la ekari 50–100 maeneo ya Bagamoyo, Kiwangwa, Msata, Chalinze na maeneo ya jirani, ndani ya km 150 kutoka Dar es Salaam.
Liwe na nyaraka halali zinazohakikika, ikiwezekana hati, na lisiwe na mgogoro.
Malipo baada ya uhakiki kamili.
Tuma: Location, ukubwa, bei na nyaraka zilizopo.
Liwe na nyaraka halali zinazohakikika, ikiwezekana hati, na lisiwe na mgogoro.
Malipo baada ya uhakiki kamili.
Tuma: Location, ukubwa, bei na nyaraka zilizopo.