Lipo majoe mkuu.Natafuta shamba ukubwa kama heka 1, maeneo ya Chanika au popote karibu na DSM. Muuzaji awe na documents muhimu zinazoonesha umiliki wake.
Lisiwe zaidi ya km 1 kutoka main road (barabara ya kutokea Airport)
Mpe bei na wengine tusikilizieLipo majoe mkuu.
Limepimwa .ml 70 halikombali unaingilia pale Mombasa moshi baa kwambele .Mpe bei na wengine tusikilizie
Asante mkuuLimepimwa .ml 70 halikombali unaingilia pale Mombasa moshi baa kwambele .
Natafuta shamba ukubwa kama heka 1, maeneo ya Chanika au popote karibu na DSM. Muuzaji awe na documents muhimu zinazoonesha umiliki wake.
Lisiwe zaidi ya km 1 kutoka main road (barabara ya kutokea Airport)
Ndugu yangu analo lipo masantula. Nicheck pm namba ya simu nikuunganishe naye na uhakika hamtashindwana bei
Weka hapa ndugu ili na wengine tufaidiNdugu yangu analo lipo masantula. Nicheck pm namba ya simu nikuunganishe naye na uhakika hamtashindwana bei
Nishakupm mkuuMkuu nipim bei
Km 2.5Hili liko umbali gani kutoka main road