Natafuta sehemu ya biashara Dodoma

Natafuta sehemu ya biashara Dodoma

Ctrlp

JF-Expert Member
Joined
May 4, 2020
Posts
333
Reaction score
276
Habari viongozi ✋

Natafuta nafasi(space) ndogo kwa ajili ya kujenga frem au kuweka banda kwa ajili ya biashara..

Sehemu yeyote kwa Dodoma mjini (sio katikati ya mji) ila sehemu yeyote yenye Mzunguuko wa watu sehemu ya kujenga fremu mbili tu.

Maeneo kama Sabasaba, Majengo, Chamwino, Nala, Changombe, Kikuyu, au popote pale mradi pawepo na pilika pilika za watu..

Mawasiliano

N:b kukodi au kununua

0715716501
 
unatafuta kiwanja au eneo la kukodi kwa muda tu.
 
Back
Top Bottom