Abuu Kauthar
JF-Expert Member
- Jul 10, 2011
- 4,489
- 6,883
Kichwa cha habari kinajieleza. Iwe mpya kama used basi iwe in meant condition (full accessories) kwa bajeti ya 400k. Kama unayo njoo pm chap chap
Kichwa cha habari kinajieleza. Iwe mpya kama used basi iwe in meant condition (full accessories) kwa bajeti ya 400k. Kama unayo njoo pm chap chap
Ipo kwa 600k
Tab s
Ninayo wadau bei 500000
hio ni ipi maana tab s ina 32gb
mnapataga wapi ujasiri wa kununua ptoducts za itelTablets prime it1702
200000
mkuu mi ninayo imepasuka kioo ila kwa bei hiyo mkuu fikiria kidogo coz myself nilinunua for ¥3700Kichwa cha habari kinajieleza. Iwe mpya kama used basi iwe in meant condition (full accessories) kwa bajeti ya 400k. Kama unayo njoo pm chap chap
Tab S SM-T705 unayo? , make ya wapi? mediatek au exynosIpo kwa 600k
3700 ni Tsh ngapi?mkuu mi ninayo imepasuka kioo ila kwa bei hiyo mkuu fikiria kidogo coz myself nilinunua for ¥3700
1.1M, tas s sm-t705c ina 32gb3700 ni Tsh ngapi?