Natafuta printer Epson L800 Dar es Salaam

Natafuta printer Epson L800 Dar es Salaam

Nahitaji printer ya kununua Epson L800 mpya au mtumba ambayo iko katika hali nzuri. Niko Dar es Salaam
Kama kuna anayejua zinapopatika naomba msaada
NB: Nahitaji Epson L800 wala siyo L805
Email yangu: abelapangani@gmail.com
zinapatkana kkoo...maduka ya computers ukianzia makutano ya msimbazi na njia inayoenda mnazi 1 kuna maduka ya wahindi zipo nilinunua moja miaka 2 zilizopita kwa 690k
 
zinapatkana kkoo...maduka ya computers ukianzia makutano ya msimbazi na njia inayoenda mnazi 1 kuna maduka ya wahindi zipo nilinunua moja miaka 2 zilizopita kwa 690k
Ahsante! Nitajaribu kwenda tena kuuliza
Miezi miwili iliyopita nilienda hapo Nimetafuta sana kwenye hayo maduka ya Wahidi Kariakoo lakini nakuta wana L805 kila duka maana wanadai L805 ndiyo toleo jipya badala ya L800 ila mimi kwa kuwa nilishaitumia L800 na nikaiamini utendaji wake ndiyo maana siwezi kununua amba nyingine
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom