Wadau salama ! ! Natafuta plot ya kununua maeneo karibu kabisa na daraja upande wa kigamboni isizidi km 4 toka darajani, iweze kufikika kwa gari kama canter bila shida, mwenye nayo tuwasiliane kwa PM
Note: mwisho wa tangazo hili ni siku 30 kuanzia leo
Note: mwisho wa tangazo hili ni siku 30 kuanzia leo