Thanks all mlioonesha interest na ku-respond kwa tangazo langu.
Niwajulishe kua nimepokea response nyingi,around 50,na nimefanikiwa ku-seal deal na mmoja wenu.
Ushauri wangu kufuatia tangazo hili: Ikiwa una bidhaa inayotafutwa,be bold, vaa ujasiri wa muuzaji supply the requirements kama ni picha zinahitajika,tuma picha like you really want and intend to sell.
Usihofu, usitume picha ama ku-suply info ki-uoga uoga ama kwa kificho kificho ama nusu nusu.
Ni hayo tu, be blessed abundantly!