Biashara ya mgahawa, beer na vinywaji baridi Eneo la Sinza A, off sheikhlango road, DSM, njiapanda kwenda Mlimani City.
Kuna SOKO zuri pamezungukwa na kumbi za harusi, garage ya magari, stand ya taxi na daladala,mafundi seremala na wachonga vyuma na majiko, Chuma chakavu wasukuma mikokoteni, waosha magari na wapita njia kuna mzunguko mkubwa wa watu.
Mchango wangu ni Eneo LA biashara (Hakuna kulipa kodi ya nyumba).maji, TV na mziki, kusimamia biashara full time.
Partner atachangia Turubai majiko, Viti na meza na vyombo, kusawazisha miundo mbinu, Mtaji Kama 1 M kuanzia. Vitendea kazi na Mtaji itabaki ni mali yake
Tutagawana faida: Mimi 45 PC na Partner 55 PC baada ya matumizi. Tutaandikishiana mkataba kwa mwanasheria akitaka
Wasiliana nami Voda 0754639, Togo 0672355824 saa 3 asubuhi mpaka 12 jioni au PM saa zote. Karibuni.
Kuna SOKO zuri pamezungukwa na kumbi za harusi, garage ya magari, stand ya taxi na daladala,mafundi seremala na wachonga vyuma na majiko, Chuma chakavu wasukuma mikokoteni, waosha magari na wapita njia kuna mzunguko mkubwa wa watu.
Mchango wangu ni Eneo LA biashara (Hakuna kulipa kodi ya nyumba).maji, TV na mziki, kusimamia biashara full time.
Partner atachangia Turubai majiko, Viti na meza na vyombo, kusawazisha miundo mbinu, Mtaji Kama 1 M kuanzia. Vitendea kazi na Mtaji itabaki ni mali yake
Tutagawana faida: Mimi 45 PC na Partner 55 PC baada ya matumizi. Tutaandikishiana mkataba kwa mwanasheria akitaka
Wasiliana nami Voda 0754639, Togo 0672355824 saa 3 asubuhi mpaka 12 jioni au PM saa zote. Karibuni.