Dr. Zaganza
JF-Expert Member
- Jul 15, 2014
- 1,765
- 2,684
Swali zuri sana,akijibu Nitaweza kuona namna ya kujoinMtaji unaanza na sh ngapi
unapatikana wapi mkuu?Habari wakuu.
Mimi ni mtaalam wa kupika vitafunwa (snacks and bites) yaani karibu vyote vinavyopatikana hoteli za kitanzania. Nataka kujiajiri rasmi.
Sasa natafuta partner atakayeweza kukodi frem iliyo kwenye sehemu yenye mzunguko mkubwa wa watu ili tufanye biashara kwa wingi.
Tutakubaliana na partner juu ya mgawanyo wa faida inayotokana na mradi huu.
Kwa aliye tayari, nicheki:
0713-039875
Ongeza nyama kwenye uzi huu mkuuHabari wakuu.
Mimi ni mtaalam wa kupika vitafunwa (snacks and bites) yaani karibu vyote vinavyopatikana hoteli za kitanzania. Nataka kujiajiri rasmi.
Sasa natafuta partner atakayeweza kukodi frem iliyo kwenye sehemu yenye mzunguko mkubwa wa watu ili tufanye biashara kwa wingi.
Tutakubaliana na partner juu ya mgawanyo wa faida inayotokana na mradi huu.
Kwa aliye tayari, nicheki:
0713-039875