Nitafute kwa mahitaji yako ya pump za maji zinazotumia umeme wa Jua na za grid ... unachotakiwa kuniambia unahitaji lita ngapi kwa siku na head( umbali au urefu wa Kisima Chako mpaka Tank au unapohitahi kumwagilia) na mahali ulipo . Nami nitakupa bei za pump na Sola yake complete