Natafuta Nyumba maeneo ya Kinondoni, Msasani, Kariakoo, Muhimbili na Postal.
Vyumba viwili vya kulala na Jiko zuri.Ikiwa Master Poa ila isipokuwa nayo pia Haina neno. Bei yangu ni Laki nne.
MALIPO KILA MWEZI.
Kama upo serious, ipo moja ina rooms 5 masters, plus seating, dining etc, ipo ndani ya fence. ILA KODI NI KWA MWAKA.