kuna nyumba za apartment imetulia sana ina vyumba 3 kimoja master na ina sifa zote muhimu. bei $ 1200, pia kuna nyumba mbezi goigi vyumba 3 inajitegemea. parking gari 3 bei $ 800 na nyingine nyinge sema bajeti yako o6571455555
nyumba sio zangu , mi ni commission agent , ila mwenye apartment wengi wanatoza $ sababu hata wapangaji wa hizo nyumba wengi ni wageni. na pia apartment nyingi za hapa bongo wamefanya partnership na wageni hasa wamarekani na waarabu hivyo kila mwezi huwa kuna marejesho ya $. hawa wanaopokea usd pia wanapokea euro pia. hata tsh wanapokea.kulingana na soko la $Kwanini unatoza kwa USD?