Natafuta nyumba ya kupanga maeneo ya mbezi beach

Natafuta nyumba ya kupanga maeneo ya mbezi beach

Zipuwawa

JF-Expert Member
Joined
Nov 28, 2010
Posts
3,050
Reaction score
657
Ndg zangu kama kuna mtu yeyote atanisaidia kupata nyumba ya kupanga maeneo ya Mbezi beach hapa Dar nitashukuru nyumba iwe ni ya familia maana yake vyumba kuanzia 3 na vingine vyote muhimu katika nyumba. asanteni
 
Ndg zangu kama kuna mtu yeyote atanisaidia kupata nyumba ya kupanga maeneo ya Mbezi beach hapa Dar nitashukuru nyumba iwe ni ya familia maana yake vyumba kuanzia 3 na vingine vyote muhimu katika nyumba. asanteni

Kuna nyumba ipo ya gorofa na inavyumba vya kulala vinne . Bei yake ni Tsh 700,000 kwa mwezi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom