Mbavu za Mbwa
JF-Expert Member
- Jan 2, 2011
- 303
- 154
Wanajf!!
Ninatafuta nyumba ya kupanga kwa ajili ya makazi, kwani nimehamishiwa hapa Arumeru, Arusha. Nyumba iwe ya vyumba vitatu (kimoja kiwe master bedroom) vya kulala, sitting, dining etc.
Hata kama una namba ya dalali, si vibaya ukaiweka hapa (lakini pia unaweza kuni-PM)
Uwezo wangu ni nyumba ya hadi Tsh 200,000 @ mwezi
Ninatafuta nyumba ya kupanga kwa ajili ya makazi, kwani nimehamishiwa hapa Arumeru, Arusha. Nyumba iwe ya vyumba vitatu (kimoja kiwe master bedroom) vya kulala, sitting, dining etc.
Hata kama una namba ya dalali, si vibaya ukaiweka hapa (lakini pia unaweza kuni-PM)
Uwezo wangu ni nyumba ya hadi Tsh 200,000 @ mwezi