Natafuta nafasi ya ualimu kujitolea

Natafuta nafasi ya ualimu kujitolea

Ksongoro

Member
Joined
Apr 1, 2016
Posts
57
Reaction score
24
Nimeahirisha masomo chuo kikuu sababu za kifedha, natafuta shule ya kufundisha masomo ya biashara, nipo Moshi mjini. Mawasiliano 0623428043
 
Unajitolea ? Kwahiyo unataka kufundisha bure bila malipo au mm ndio sijaelewa?
 
Unajitolea ? Kwahiyo unataka kufundisha bure bila malipo au mm ndio sijaelewa?
Naamini kwa kuanzia ni kujitolea ila baada ya kuongeza thamani,ufanisi na tija katika mukhtadha wa ufundishaji wahusika wanaweza mfikiria namna atakavojikimu!
 
Umezunguka katika mashule umekataliwa ndugu yangu, shule mbona ni nyingi sana anza ata za serikali bhasi......
Nimeahirisha masomo chuo kikuu sababu za kifedha, natafuta shule ya kufundisha masomo ya biashara, nipo Moshi mjini. Mawasiliano 0623428043
 
Nimeahirisha masomo chuo kikuu sababu za kifedha, natafuta shule ya kufundisha masomo ya biashara, nipo Moshi mjini. Mawasiliano 0623428043
Dada sasa masomo yaniashara so ufanye biashara atakama mtaji auna kila siku wanafundisha jinsi yakupata mtaj kuna biashara unaaza ata naelf kumi
 
Uza maparachichi uzivhange urudi chuo dogo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom