NTALYAGA Member Joined Nov 24, 2014 Posts 19 Reaction score 4 Apr 25, 2015 #1 Habari zenu wana JF, Mimi ni kijana wa kiume mwenye umri wa miaka 26. Nina shahada ya uchumi na fedha. Ninawaomba wana JF mnisaidie nafasi ya kazi (kujitolea) katika NGO yoyote mkoani Morogoro. Asante. Mawasiliano: 0684 148465
Habari zenu wana JF, Mimi ni kijana wa kiume mwenye umri wa miaka 26. Nina shahada ya uchumi na fedha. Ninawaomba wana JF mnisaidie nafasi ya kazi (kujitolea) katika NGO yoyote mkoani Morogoro. Asante. Mawasiliano: 0684 148465