PrincessGinna
New Member
- May 22, 2024
- 2
- 37
Anatafutwa nice guy wa kuuziwa gazeti jioni
hivi mkuu au basiAnatafutwa nice guy wa kuuziwa gazeti jioni
Please attach death certificate of your children's father pls.Habari ya wakati huu. Nimeleta mrejesho kwa kipindi ambacho nimekuwa na uhitaji wa mwenza na nikaposti humu. Lakini waliokuja pm ni wababa waume za watu na wengine wanakuja for funny tu, wakihisi hii ni sehemu ya kula kucheza na kuondoka.
Wakati Niko seriously katika Jambo hili na Nina uhitaji wa mwenza, ili kama tukija kuelewana vizuri basi tuweze kufunga pingu za maisha. Haimaanishi kuja hapa kuwa eti mtaani hawapo au kanisani hawapo, hapana. Bali Kuna sababu zilizosababisha nikaja kwenye platform hii.
Bado sijachoka, ninauhitaji wa mwenza , awe na age kuanzia 32 mpaka 40. Awe mkristo ikiwa mkatoliki itapendeza zaidi, awe mkoa wowote, akiwa na watoto sawa, ilmradi tu ajue majukumu yake kama baba wa familia. Awe na kitu kinachomuingizia kipato ili tu tusilale na njaa.
Sifa zangu ni mkristo katoliki, nimejiajiri, nna watoto 2, miaka yangu 32, mwembamba. Naishi dsm.
NOTE:.
ANAYEKUJA UHAKIKISHE SIYO MUME WA MTU NA PIA UKO SERIOUSLY UNAHITAJI SAFARI YA MAHUSIANO. OTHERWISE SIHITAJI KUKUONA PM.
KARIBU PM KAMA UNA SIFA , UNAHITAJI MTU MWENYE SIFA KAMA ZANGU, NA UNA NIA THABITI YA MAHUSIANO.
SIO KWASABABU UMEONA NI SINGLE MOTHER BASI UKAHISI NI SEHEMU YA KULA KIRAHISI NA KUONDOKA. BE CAREFUL.
Wewe mwenyewe ni mke wa mtu. Hao watoto uliwapata kupitia ndoto?ANAYEKUJA UHAKIKISHE SIYO MUME WA MTU NA PIA UKO SERIOUSLY UNAHITAJI SAFARI YA MAHUSIANO. OTHERWISE SIHITAJI KUKUONA PM.
MamboMUNGU akupatie hitaji la moyo wako
kama umepata mtu anakupenda mpende commit to that relationship, age is just a number π₯°- unknown
π π π π π π sitaki mijibabaMambo
ππππPlease attach death certificate of your children's father pls.
Mm bado kijanaπ π π π π π sitaki mijibaba
nakuitia wiii BICHWA KOMWE -Mm bado kijana
Kwan ww hutak mpenzinakuitia wiii BICHWA KOMWE -
All the best mpenz...usisahau kuzidi kumuomba Mungu,utapata wako.β₯οΈHabari ya wakati huu. Nimeleta mrejesho kwa kipindi ambacho nimekuwa na uhitaji wa mwenza na nikaposti humu. Lakini waliokuja pm ni wababa waume za watu na wengine wanakuja for funny tu, wakihisi hii ni sehemu ya kula kucheza na kuondoka.
Wakati Niko seriously katika Jambo hili na Nina uhitaji wa mwenza, ili kama tukija kuelewana vizuri basi tuweze kufunga pingu za maisha. Haimaanishi kuja hapa kuwa eti mtaani hawapo au kanisani hawapo, hapana. Bali Kuna sababu zilizosababisha nikaja kwenye platform hii.
Bado sijachoka, ninauhitaji wa mwenza , awe na age kuanzia 32 mpaka 40. Awe mkristo ikiwa mkatoliki itapendeza zaidi, awe mkoa wowote, akiwa na watoto sawa, ilmradi tu ajue majukumu yake kama baba wa familia. Awe na kitu kinachomuingizia kipato ili tu tusilale na njaa.
Sifa zangu ni mkristo katoliki, nimejiajiri, nna watoto 2, miaka yangu 32, mwembamba. Naishi dsm.
NOTE:.
ANAYEKUJA UHAKIKISHE SIYO MUME WA MTU NA PIA UKO SERIOUSLY UNAHITAJI SAFARI YA MAHUSIANO. OTHERWISE SIHITAJI KUKUONA PM.
KARIBU PM KAMA UNA SIFA , UNAHITAJI MTU MWENYE SIFA KAMA ZANGU, NA UNA NIA THABITI YA MAHUSIANO.
SIO KWASABABU UMEONA NI SINGLE MOTHER BASI UKAHISI NI SEHEMU YA KULA KIRAHISI NA KUONDOKA. BE CAREFUL.
Hatutaki kupasha viporo kwa kisingizio cha kupeleka watoto wakamsalimie baba yao.ππππ