Hellow ,naitwa Patrick wa dar natafuta mke wa kuoa mwenye sifa zifuatazo, mvumilivu, mpole, mtiifu, mcha mungu, sina ubaguzi wa kabila wala dini, elimu, hata akiwa na mtoto sio mbaya, umri kuanzia 25-30,dini yeyote, mimi umri wangu ni miaka 32,dini mkristu, elimu chuo kikuu, asanteni sana, ni pm kwa mawasiliano zaidi