screpa
JF-Expert Member
- Sep 10, 2015
- 10,902
- 15,928
Aslam aleykum ndugu zanguni, mimi ni kijana ninayetafuta namna ya kuuaga ukapera baada ya shinikizo kubwa la mama na dadazangu maana inaonekana umri unayoyoma ila sijawahi kuwatambulisha wifi hata mmoja.
Kuoa nataka ila nnapata shida sana ya kumpata mwanamke nnayemtaka. Mimi siku zote nna ndoto ya kuoa mwanamke mrefu mweupeee ili Mungu akijaalia nibadilishe rangi ya ukoo, maana mimi ni mweusi kama mpingo, vivyohivyo kwa wanaukoo wengine, changamoto niliyonayo kwenye kutimiza ndoto yangu ni kumjua mwanamke mweupe by nature, maana nikiangalia sikuhizi mjini wanawake karibu wote ni weupe, na weupe wenyewe wameupata ukubwani.
Swali, nitajuaje yupi ni mweupe wa asili?
Kuoa nataka ila nnapata shida sana ya kumpata mwanamke nnayemtaka. Mimi siku zote nna ndoto ya kuoa mwanamke mrefu mweupeee ili Mungu akijaalia nibadilishe rangi ya ukoo, maana mimi ni mweusi kama mpingo, vivyohivyo kwa wanaukoo wengine, changamoto niliyonayo kwenye kutimiza ndoto yangu ni kumjua mwanamke mweupe by nature, maana nikiangalia sikuhizi mjini wanawake karibu wote ni weupe, na weupe wenyewe wameupata ukubwani.
Swali, nitajuaje yupi ni mweupe wa asili?
