Mambo siku hizi yanabadilika sana!, watu wadharau jinsi mwanaJF alivyointroduce kiu yake! kwa kuwa hii JF pia ina connect watu, aweza kupata mchumba mzuri, kwani wangapi wanakutana bar, kwenye ndege, msituni, kjjni n.k na wakaoana! je ni wangapi wameletewa na baba zao au mama zao na ndoa ikadumu ama ikavunjika? let be serious! kama anatafuta mchumba usibeze!