Natafuta mume

Sisi wenye vitambi ndo hatumo.
 
Picha ya nini jamani sampo ya mtu nimtakae au?

Sifa za mimi:
Mweusi,
Mwembamba,
Sina matako makubwa,
Elimu la saba,
Sina mtoto.

Umri
Awe na miaka kuanzia 32+
Umri wangu 26


Hapana siyo picha ya mtu umtakae... picha ya kwako...



Cc: mahondaw
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…