SIFA ZANGU
- miaka 36
- mkristo
- nimeajiriwa serikalini
- nina mtoto mmoja
- sijawahi kuolewa
-naishi dsm
SIFA ZAKE
-nahitaji mume
-mwenye upendo wa dhati
- mkristo
-muajiriwa/amejiajiri
-umri 37-45-mrefu
-rangi yoyote
-mkweli
-muaminifu
kama haikuhusu pita kimya kimya sihitaji mapovu
SIFA ZANGU
- miaka 36
- mkristo
- nimeajiriwa serikalini
- nina mtoto mmoja
- sijawahi kuolewa
SIFA ZAKE
-nahitaji mume
-mwenye upendo wa dhati
- mkristo
-muajiriwa/amejiajiri
-umri 37-45-mrefu
-rangi yoyote
-mkweli
-muaminifu
kama haikuhusu pita kimya kimya sihitaji mapovu
Yan tayar una goal mkonon alafu ndio unataka mwanaume wa kukuoa aje!!
Ukwel mchungu bikra nikose ad kwenye kuzaa mtu anitangulie!!!!
Kwan lazima kuolewa, c umalizie tu maisha ya ubachelor
Kinachonishangaza, wanawake wife material hawana masharti lundo kama hawa ambao wameshabugi ktk kumiliki ndoa.
Kubalini mlishakosea achaneni na masharti, masharti tu yanaweza kumkimbiza muwekezaji.