Unajua haya mambo yanaenda na specifications. Embu elezea wajihi wako. Umbile, shepu, rangi, na hata kiwango chako cha uzuri. Wewe ni wa kawaida, mzuri kiasi, mzuri sana au mzuri kupitiliza? Pia wewe ni Andunje (short chasis), mrefu wa wastani au super tall kama Hashim Thabiti? Vipi uko flat screen au chogo?
Ntarudi kwakwel ngoja nishushie ka Azam malt coffee kangu ka bariiidNina miaka 29.. natafuta mume aliye serious na mwenye hofu na mungu ..awe mkristo umri kuanzia miaka 30-35....sipo kwaajili yakujaribiwa...kazi yoyote ili mradi iwe halali ..
aliye tayar ani pm...
.....nimesema nilichosema!...ni kweli 'wenzie' wanatafutwa;ni kweli 29 ni mzee!
..na kama umekubali hata wewe utafia mbele kwanini yeye 'asifie mbele'!
..wewe na mwenzio(japo nishahisi ndie wewe huyo huyo),kafieni mbele!
watu wana stress mkuuJF imeingilia na vitoto. Mtu analeta suala lake yupo serious then wengine mnachafua. Kuweni serious na mambo ya watu.
Acha mtazamo wa kizamani. Wangapi wameolewa JF na wengine kwenye mitandao mingine? Hivi unawezaje kutumia neno changundoa kwenye post ya mtu hata kwa kuhisia?Mimi nina wasiwasi na hawa watu wanaotafuta wapenzi mitandaoni pengine ni changudoa aliyetukuta huko mtaani kwao halafu anakuja kujipooza huku eti natafuta mume aliye serious. Kama uko serious kweli kutafuta mchumba huku utakuwa umepotea njia maana kumpata mtu aliye serious hata mtaani tu ni shughuli. Cha msingi omba mungu atakusaidia kumpata mwenza anayekufaa
serious wapi na wewe?umeshindwa kugundua hii id ni ya nani?JF imeingilia na vitoto. Mtu analeta suala lake yupo serious then wengine mnachafua. Kuweni serious na mambo ya watu.
.....teh hee hee...wewe unaposema "tupo" unamfahamu na kumjumuisha nani mwingine zaidi yako?Huu sasa ni ukorofi. Mtu kaweka bandiko lake wewe unasema afie mbele, kwani tatizo ni nini? Hizo sifa alizoweka tupo wenye nazo na huyo dada tunamuona anafaa. Wewe kama siyo size yako si unatulia tu?? Au unatufahamu watu wote humu?
.....teh hee hee...wewe unaposema "tupo" unamfahamu na kumjumuisha nani mwingine zaidi yako?
....by the way,mada ishajifia..mwenye nayo kanyoosha mikono juu!
..pole sana 'mzee wa mizoga!'..teh hee hee
Kabisa chifu unaeza kuta unafubaza nyota yako buleMimi nina wasiwasi na hawa watu wanaotafuta wapenzi mitandaoni pengine ni changudoa aliyetukuta huko mtaani kwao halafu anakuja kujipooza huku eti natafuta mume aliye serious. Kama uko serious kweli kutafuta mchumba huku utakuwa umepotea njia maana kumpata mtu aliye serious hata mtaani tu ni shughuli. Cha msingi omba mungu atakusaidia kumpata mwenza anayekufaa
Bwana asema "niite nami nitaitika nami nitakuonyesha mambo makubwa usiyoyaweza" correct me if I'm wrong. Katika shida yangu nalimlilia bwana.Asanteni kwa yote..usiku mwema...
Kila la kheri mpendwa wangu mungu akupe itaji la roho yako.
umeingizwa mkenge kaka,huyo mtoa mada pia ni walewale tu.JF imeingilia na vitoto. Mtu analeta suala lake yupo serious then wengine mnachafua. Kuweni serious na mambo ya watu.