Natafuta mume, awe HIV+

Tafuta magome ya Mzambarau halafu yachemshe unywe lita moja asubuhi, lita moja mchana na usiku lita moja. Kwa muda wa mwezi mzima na baada ya hapo nenda clinic ukapime. Utanishukuru
 
Tafuta magome ya Mzambarau halafu yachemshe unywe lita moja asubuhi, lita moja mchana na usiku lita moja. Kwa muda wa mwezi mzima na baada ya hapo nenda clinic ukapime. Utanishukuru
Heeey
ukute kweli
ntayapata wapi sasa?
 

Mungu ni wetu sote niishie hapo kwa leo…….
 
Lakini nasikia kuwa HIV inatofautiana kati ya mtu na mtu; unaweza kujikuta katika hali mbaya zaidi ukiongezewa maambukizi. Nakushauri ubaki kama ulivyo; upweke siyo mzigo.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…