Natafuta mtu wa sales

Natafuta mtu wa sales

GREAT VISIONAIRE

JF-Expert Member
Joined
Sep 28, 2012
Posts
365
Reaction score
454
Kwa mtu mwenye uzoefu na mishe za mjini. Nampa mzigo akipata wateja anapata commision. Kwa maelezo zaidi njoo pm. Kazi ikifanyika ndani ya mwezi commision yawezakuzidi 1mill.
 
Mzigo upi au nyie ndo mnabebesha watoto wa watu ndaga uzi wenyewe umeandika kihuni huni tu "eti mishe za town" achen shobo hata kama maisha ni magum ila vijana msijirahisishe kihivyo
 
Sales zakubebeshana mabeseni au zipi hizo?? Sales anatakiwa kua na salary pindi akishindwa meet target awe na kipato walau chakupeleka home
 
Wadau kuna mtu naye anahitaji mtu wa sales upande wa tishirt za kisasa kabisa. Anahitaji vijana wanne wakike kwa waume idadi sawa na awe anaishi Dar es salaam.
Kwa mawasiliano zaidi namba 0712672210.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom