Nipo Dsm,MakuburiNina mdogo Wang upo pande zip ?call no 0766565790
elfu60mshahara kiasi gan mpendwa
Nje !ya Dar,au nje ya nji,nji gani Isiwe Rwanda !Mi naweza kukuletea wa nje!
elfu60
hope jana ulimwabudu mungu asiye na dharau! Huo ndio uwezo alionopa mungu wangu bwana dalali!elfu60....kwa mwezi mbona km dharau
Huo mshahara utaishia ktk vocha za sim tuElfu60....kwa mwezi mbona km dharau
Kwani wanalipwa bei gani mkuu ,mbona hata wadogo zake MASAMAKI Wanawalipa hivyo...kumbuka yuko secured afya,mavazi ,malazi, bla kutaja chakula! Mkuun tuwe wakweli ni hawa watu wanawatesa na kuwabagua ndio wanaharibu...otherwise kwangu ekfu 60 ataishi maisha mazuri kuliko wafant=yakazi wa makampuni ya ulizi .a na usafi wanailipwa 100,000/- !Huo mshahara utaishia ktk vocha za sim tu
Chief