Natafuta msichana wa kuoa...

Mbingo

JF-Expert Member
Joined
Mar 20, 2014
Posts
411
Reaction score
230
Mimi ni kijana wa miaka 34 natafuta msichana wa kuoa niko Kigoma sifa awe na nidhamu na mcha Mungu na awe maji ya kunde au mweupe awe na nyama nyama na siyo kimbau mbau..... Aje in box.....
 
Reactions: MC7
Sasa mkuu kimbau mbau Si unaweza kumenepesha
 
Reactions: waj
Wa kuoa wameadimika siku hizi,unatafuta anaeweza kurekebishika,unamvumilia,unafunga pingu za maisha,nasikia wanajirekebishia ndoani hukohuko
 
Mimi ni kijana wa miaka 34 natafuta msichana wa kuoa niko Kigoma sifa awe na nidhamu na mcha Mungu na awe maji ya kunde au mweupe awe na nyama nyama na siyo kimbau mbau..... Aje in box.....
Pesa ipo mume wangu?
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…