Lavan Island
JF-Expert Member
- Oct 24, 2015
- 2,378
- 2,054
Haya SawaMmmhhh urefu cm60 ???.rular mbili
Rekebisha bro wasije wakaanza yao
Nishatongoza sana ila wengi vigezo havikidhiLkn ni bora utafute kati ya unaokutana nao au wa mitaani
Uku utasota2 bila mafanikio
Au hujui kutongoza???
Soma taratibu acha kukurupuka, au bado ujanawa uso mkuu?Mmmhhh urefu cm60 ???.rular mbili
Rekebisha bro wasije wakaanza yao
humu chenga tuputafuta physicalyHabari Wana jf
Natafuta msichana mkristu ambae atakuwa mchumba au mke wangu baadae,awe na shughuli ya kufanya,awe na elimu kuanzia darasa la saba,akiwa mwalimu ni poa zamimi
Wasifu wangu mimi
Mkisto
Nimeajiriwa
Nna elimu ya kidato cha 6
Maji ya kunde or brown
Sinywi pombe
Na nnaishi kwangu.
Habari Wana jf
Natafuta msichana mkristu ambae atakuwa mchumba au mke wangu baadae,awe na shughuli ya kufanya,awe na elimu kuanzia darasa la saba,akiwa mwalimu ni poa zamimi
Wasifu wangu mimi
Mkisto
Nimeajiriwa
Nna elimu ya kidato cha 6
Maji ya kunde or brown
Sinywi pombe
Na nnaishi kwangu.
Ndio Maana nimeamua nitafute ni kwa. Nia njema tuBasi ukiwa na nia njema MUNGU atakujibu haja ya moyo wako, umpende na kumtunza mke wako hadi kifo kitakapo watenganisha
Huwezi kupata vigezo vyote ulotaja just awe japo na v3 kati ya hivyoNishatongoza sana ila wengi vigezo havikidhi
Hapo Kwenye ajira au shughuli ya kufanya hilo ni option,akiwa mke tutasaidianaHuwezi kupata vigezo vyote ulotaja just awe japo na v3 kati ya hivyo
Katafutie bar wapo wengi wanakusubili kwa hamuHabari Wana JF,
Natafuta msichana mkristu ambae atakuwa mchumba au mke wangu baadae,awe na shughuli ya kufanya,awe na elimu kuanzia darasa la saba,akiwa mwalimu ni poa zamimi.
Wasifu wangu mimi;
Mkisto
Nimeajiriwa
Nina elimu ya kidato cha 6
Maji ya kunde or brown
Sinywi pombe
Na ninaishi kwangu.
nina miaka 33hujataja umri ndugu
Dola 2500 kwa mwezi.Kipato chako plz.