Natafuta mpenzi

Lavan Island

JF-Expert Member
Joined
Oct 24, 2015
Posts
2,378
Reaction score
2,054
Habari Wana JF,

Natafuta msichana mkristu ambae atakuwa mchumba au mke wangu baadae,awe na shughuli ya kufanya,awe na elimu kuanzia darasa la saba,akiwa mwalimu ni poa zaidi mimi.

Wasifu wangu mimi;

Mkisto
Nimeajiriwa
Nina elimu ya kidato cha 6
Maji ya kunde or brown
Sinywi pombe
Na ninaishi kwangu.
 
Mmmhhh urefu cm60 ???.rular mbili
Rekebisha bro wasije wakaanza yao
 
Lkn ni bora utafute kati ya unaokutana nao au wa mitaani
Uku utasota2 bila mafanikio
Au hujui kutongoza???
 
Sasa huku kuna kila sampuli kazi kwako kufanya audition
 
Basi ukiwa na nia njema MUNGU atakujibu haja ya moyo wako, umpende na kumtunza mke wako hadi kifo kitakapo watenganisha
 
Binadaam angekuwa anaweza kufanya modification ya binaadamu mwenzake mbona ingekuwa shida utapata subir waje
 
humu chenga tuputafuta physicaly
 

Umesahau Kipengele Kingine Muhimu Sana Ambacho Wadada Wa Leo Hupenda Kujua Mapema. Je Una " Mpini Wa Uhakika " au Ni " Njiti Tu Ya Kiberiti? " Nina Uhakika Ukiyajibu Tu Hayo Maswali Utapata PM's Nyingi Sana Mkuu. Kila La Kheri!
 
Basi ukiwa na nia njema MUNGU atakujibu haja ya moyo wako, umpende na kumtunza mke wako hadi kifo kitakapo watenganisha
Ndio Maana nimeamua nitafute ni kwa. Nia njema tu
 
Katafutie bar wapo wengi wanakusubili kwa hamu
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…