Natafuta mkopo

Natafuta mkopo

Ivilikinge

Member
Joined
Jun 15, 2009
Posts
29
Reaction score
1
Nahaitaji sana mkopo wa one million narudisha ndani ya miezi miwili kwa riba ya laki na nusu jamani nisaidieni nimlipie wife ada
 
Du pole sana. Tengeneza fomu pitisha maofisini watu watakuchangia ni wakarimu sana.
 
JF mpo???
si mlisema harusi hamchangii tena,
ila mambo kama haya mtachangia??:A S 8::A S 8:
 
Nahaitaji sana mkopo wa one million narudisha ndani ya miezi miwili kwa riba ya laki na nusu jamani nisaidieni nimlipie wife ada

Kama unafanya kazi nenda banks..Pia gusia watu wako wa karibu wakusaidie, kwa dhamira ya hiyo hela unaweza kupata msaada wa haraka!
 
Tatizo siyo kukopeshwa mkopeshaji yoyote anapaswa kujiuliza utalipaje? pia uwe na dhamana. Kama ni mfanyakazi unaweza kukopa personal loan benki au tafuta NGO Au saccos zinazokopesha.
 
Wasiliana na huyu no tigo 0656874027 anatoa,kama wewe ni mtumish wa selikalini.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom