Duh! Kwa maandiko haya mke bora huwezi pata, kwani atagundua kuna walakin kwako, lakini kwa kilaza waweza pata mana hata gundua lolote kwako, anyway kila la heri mkuu. Kadokezo tu, nliwah tafuta hum jf mke, yani nliishia kupata mademu tu na siyo wake na mengine mengi tu, ukitaka kujua ntaku Pm