RAYMOND TULI
Member
- Jan 19, 2013
- 11
- 7
Mimi sikushambulii ni haki yako kikatiba hata katiba mpya imewekewa hilo pendekezoNdugu wadada natafuta mke wa kuoa kupiia katika mtandao huu aliye tayari tuwasiliane! NB. msinishambulie kwa llugha chafu hayo ni mawazo yangu usipopendezwa tafadhari endelea na kazi yako.
Ndugu wadada natafuta mke wa kuoa kupiia katika mtandao huu aliye tayari tuwasiliane! NB. msinishambulie kwa llugha chafu hayo ni mawazo yangu usipopendezwa tafadhari endelea na kazi yako.
Ndugu Slave Pole mkuu ulipotelea wapi nina mda mrefu sijakuona humu....Pole tena ?kaka mkubwa, mwanamke mwema hutoka kwa mungu. jitahidi katika sala zako usisahau kumuomba mungu akupe mke mwema,
View attachment 146057
Ndugu wadada natafuta mke wa kuoa kupiia katika mtandao huu aliye tayari tuwasiliane! NB. msinishambulie kwa llugha chafu hayo ni mawazo yangu usipopendezwa tafadhari endelea na kazi yako.
Ndugu Slave Pole mkuu ulipotelea wapi nina mda mrefu sijakuona humu....Pole tena ?
Kaka jr.hahahaaaa sometimes muache utani kwenye maskhara...!!!!
asante mkuu Zamiluni Zamiluni ujue nilifichwa na jimama la mujini !Ndugu Slave Pole mkuu ulipotelea wapi nina mda mrefu sijakuona humu....Pole tena ?
Aisayeee!! Mkuu ukajinasuajee!! sasa upo huru/ free?asante mkuu Zamiluni Zamiluni ujue nilifichwa na jimama la mujini !
wallet iliyumba kidogo,kwa sasa nipo kitaa nazichangisha,nikizipata tu nazamia tena.Aisayeee!! Mkuu ukajinasuajee!! sasa upo huru/ free?