franktemu123
JF-Expert Member
- Mar 3, 2011
- 1,400
- 1,451
Salam! Mimi ni Mwanaume nina miaka 36. Ninaishi na kufanya kazi hapa Dar es Salaam natafuta mke awe na umri kuanzia miaka 27, mnene aliye tayari kupima VVU na kufunga ndoa ya kikristo kanisani. Email yangu franktemu123@yahoo.co.uk simu yangu 0759333178. Frank
Salam! Mimi ni Mwanaume nina miaka 36. Ninaishi na kufanya kazi hapa Dar es Salaam natafuta mke awe na umri kuanzia miaka 27, mnene aliye tayari kupima VVU na kufunga ndoa ya kikristo kanisani. Email yangu franktemu123@yahoo.co.uk simu yangu 0759333178. Frank
mke mwema hutoka kwa bwana,sio JF mkaka utaumia!
Dah,nafsi yangu inanambia kwamba uko serious lakiniiiiiii,...
Mbona kanisani kuna wadada wanaofaa zaidi ya wale utakao wapata mitandaoni kakangu?
pls,muombe Mungu utapata mke mwema huko,au labda hapa hapa ila,...
mke mwema hutoka kwa bwana,sio JF mkaka utaumia!
Salam! Mimi ni Mwanaume nina miaka 36. Ninaishi na kufanya kazi hapa Dar es Salaam natafuta mke awe na umri kuanzia miaka 27, mnene aliye tayari kupima VVU na kufunga ndoa ya kikristo kanisani. Email yangu franktemu123@yahoo.co.uk simu yangu 0759333178. Frank
Nipo available. Nami nataka Mchagga kama wewe, ila noti, nyumba, gari na shamba lazima uwe navyo
Mnashangaza kweli.Kwani wanawake waliopo hapa JF wanaishi Mars??Hao mnakutana nao huko mitaani baadhi yao ndo hawa hapa..acheni kujudge watu msiowajua.Au mnawaogopa kwasababu wanatumia internet?Wamejiunga JF?Wanamwaga point JF?Kha!Mnaboa!
Bwana ye anawatoa mawinguni eh?
Salam! Mimi ni Mwanaume nina miaka 36. Ninaishi na kufanya kazi hapa Dar es Salaam natafuta mke
Bwana ye anawatoa mawinguni eh?