As alaykum.Naitwa Ally, ni mwalimu shule ya sekondari serikalini,umri ni miaka 25.Natafuta mke wa kumuoa Serious! Awe na sifa:
*Muislamu Mchamungu
*Asizidi miaka 22
*Awe amehifadhi Quran Tukufu kuanzia Juzuu 3...
Inshaallah tutafunga ndoa ndani ya mwaka huu na Hatutaingiliana mpaka tuhalalishwe.Wabillahi Tawfyq.Kama upo tayari niandikie ukurasa huu tupeane mawasiliano zaidi!.WABILLAHI TAWFYQ!