Natafuta mke

Wasomba

JF-Expert Member
Joined
Dec 19, 2016
Posts
546
Reaction score
757
Wakuu Natafuta mke
Umri awe na miaka 25 kuendelea.
Elimu diploma na kuendelea.

Umri miaka 38.
Nimeajiliwa serikalini.

Wewe dada unayejiona unaweza kuisha na mwanauame kwa upendo na amani nakuhitaji. Njoo mke wangu. Nitakupenda na kukijali.


Kama hauko serious please usije inbox.
 
Ndo utakuwa unaoa mara ya kwanza yaan ukimpata au?
 
Itakuwa ulikimbilia kuomba papuchi mkuu! ......sio bure, mambo mazuri hayataki haraka pole sana
 
Itakuwa ulikimbilia kuomba papuchi mkuu! ......sio bure, mambo mazuri hayataki haraka pole sana
Papuchi ndiyo nn? Naomba nifunge mjadala wa hii story. Asante.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…