wewe ndo umemtosa jamaa nini?Hahahaha
si ulisema hayo ya hela mwenyewe mkuu .ungekuta nina mimba sasaForget about that. hata asiye na mshahara. Mke mwema ndiyo kila kitu. Pesa inatafutwa.
ulisema mashahara m 3 .5 siku ukiitaji wa mshahara laki tatu nishtue
mara ya kwanza alisem,a hilo ila sasa kasema tusahau icho kipengele bora ujue kusoma na kuandikaIna maana anataka mke anaepokea 3.5M?
Unajua kua mke mwema anatoka kwa Mungu?, je umemshirikisha Mungu kuhusu hilo?Forget about that. hata asiye na mshahara. Mke mwema ndiyo kila kitu. Pesa inatafutwa.
mara ya kwanza alisem,a hilo ila sasa kasema tusahau icho kipengele bora ujue kusoma na kuandika
aya kila la kheriNgoja niwahi pm basi. Maisha yalivyo magumu bora nimepata mtu wa kunilea mjini.
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15]si ulisema hayo ya hela mwenyewe mkuu .ungekuta nina mimba sasa
Natafuta mke piaMkuu ungeweza na picha ingependeza. Unajua picha nazo zinasaidia kumjua mtu yukoje. Natafuta mume pia