wewe ndo umemtosa jamaa nini?Hahahaha
Forget about that. hata asiye na mshahara. Mke mwema ndiyo kila kitu. Pesa inatafutwa.ulisema mashahara m 3 .5 siku ukiitaji wa mshahara laki tatu nishtue
si ulisema hayo ya hela mwenyewe mkuu .ungekuta nina mimba sasaForget about that. hata asiye na mshahara. Mke mwema ndiyo kila kitu. Pesa inatafutwa.
ulisema mashahara m 3 .5 siku ukiitaji wa mshahara laki tatu nishtue
mara ya kwanza alisem,a hilo ila sasa kasema tusahau icho kipengele bora ujue kusoma na kuandikaIna maana anataka mke anaepokea 3.5M?
Unajua kua mke mwema anatoka kwa Mungu?, je umemshirikisha Mungu kuhusu hilo?Forget about that. hata asiye na mshahara. Mke mwema ndiyo kila kitu. Pesa inatafutwa.
mara ya kwanza alisem,a hilo ila sasa kasema tusahau icho kipengele bora ujue kusoma na kuandika
aya kila la kheriNgoja niwahi pm basi. Maisha yalivyo magumu bora nimepata mtu wa kunilea mjini.
Forget about 40. I am 38. Taarifa shogun uwa tunapeana inbox. Maandalizi mema ya new year.Kuna thread ulisema una miaka 40 leo 38 tuamini ipi
si ulisema hayo ya hela mwenyewe mkuu .ungekuta nina mimba sasa
Papuchi ndiyo nn? Naomba nifunge mjadala wa hii story. Asante.Itakuwa ulikimbilia kuomba papuchi mkuu! ......sio bure, mambo mazuri hayataki haraka pole sana
Natafuta mke piaMkuu ungeweza na picha ingependeza. Unajua picha nazo zinasaidia kumjua mtu yukoje. Natafuta mume pia