miss charming
JF-Expert Member
- Dec 3, 2016
- 910
- 906
Mm nmefuatilia jn nkaambiwa si kweli kakutosa tu huyo dada
loohh!haya bwana..Siulizi tena ww umeshanikataa basi
Mi mtt wa Majuto nmerith ktk kwa baba ucheshi.Mm napenda mtu mcheshi tu...
Andaa mshenga au tuvuke stage twende kwny mahari kbsNimeshakupenda
poa,asante piaLete tu haina shida
Mi ni Mkurya kutoka Rorya, minapenda san kupigwa. Najua kulima na kuwindaLete cv yako tu bibie
Mahari yeyote italipwa ikiwa umetimiza masharti na vigezo
Sina hujaona Uzi Wangu??Huna naww?!