Natafuta mke

Kwani huko unakoishi ujawaona mpaka uje humu. Mke wa kuoa atafutwi huku baba upo,
Wewe ugeni wa jukwaa unakuchanganya,hauoni hapo juu pameandikwa love connect,au unafikiri kazi yake nini..
 
Ngoja nkakutaftie mkuu,
Ntarudi baadae, kuna pini 2 ziko mahali ngoja niziwahi
 
Dah anyway goodluck
 
nishapata wawili semaa sijawapenda
Usipo pata akili mapema utaendelea kuwatafuta hivyo hivyo na kila unaye mpata huta mpenda, if you real need somebody swallow your pride
 
MBONA KAMA MSHAMBA WEWE? UNATOKEA WAPI?TUANZIE HAPO LABDA?
 
toka 2000
sasa wanawake hujawaona toka 2000, unakuja tafuta umu? alafu hivyo ndivyo wanavyo tafuta mke namna hiyo? au unatudanganya! wewe unatokea kijijini! kwanza hizo ofisi za misitu ziko wapi hapa dar?
 
ayo maswali angeniuliza dada yako ningejibu wewe utonisaidia
 
ayo maswali angeniuliza dada yako ningejibu wewe utonisaidia
upeo wako unaonyesha kabisa uko under 27 unaforce, wala haupo dar! na huna nia ya kuoa ila unataka kuvunja amri tuu! unafikiri ndoa ni kufanya mapenzi pekeyake! ndivyo mnavyo danganyana uko vijiweni! nenda ujipange bana la sivyo nenda facebook kwa watoto wenzio!
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…