mimi naitwa Can, natafuta mke wa kuoa/kuoana naye awe na sura nzuri, tabia nzuri mcha Mungu(mkristo), Elimu yoyote, kabila lolote na Taifa sibagui note that:~kua siriac sifanyi mdhaha, aliyetayar ani pm. asanten!
Kwa hiyo wewe unataka kuoa online? Hujui kuwa suala la mapenzi ni subjective? Kwa nini hukuenda kanisani au msikitini ukafanye maombi ili Mungu akuongoze na akidhi haja ya moyo wako! Kwa gear unayotumia usishangae once utapoolewa badala ya kuoa!