Mimi ni mtumishi serikalini.Natafuta mke umri wake usizidi miaka 33.Awe dini yeyote.Angalau awe na elimu ya certificate yoyote ile.Nina elimu ya shahada moja.Sichagui kabila.
Mimi ni mtumishi serikalini.Natafuta mke umri wake usizidi miaka 33.Awe dini yeyote.Angalau awe na elimu ya certificate yoyote ile.Nina elimu ya shahada moja.Sichagui kabila.Aliye serious anipm tutawasiliana zaidi
Naamini mke au mume anapatikana popote,kumbuka watu wamekutana vyuoni,mahospitalini au kaunta za bar miezi kadhaa mbele wakaoana.Hili ni jukwaa maalum kwa ajili yetu.Wenye nia nawakaribisha pm naamini huko tutafahamiana vema