miss chagga
JF-Expert Member
- Jun 7, 2013
- 57,805
- 49,110
wakuu habari zenu...
natafuta mikasi ya kukatia korosho mwenye nayo ani pm nipo dar es salaam...
asanteni
Nenda pale coet udsm..kwa wale jamaa wa mechanical...wanauo hiyo
Miss ni mzuri huwo mkasi tena hata mi nimeupenda na nitajitahidi kwenda kule kitumbini mtaa wa india na morogoro ili niutumei kwenye kabustani kangu na umenipa elimu asaanti
Asante mkuu na.bei zao hujui?
kwenye bustani unafanyia nini huo mkasi mkuu? niko curious!
Ni ya kukatia au kubangulia?
Bei sijui
Miss ni mzuri huwo mkasi tena hata mi nimeupenda na nitajitahidi kwenda kule kitumbini mtaa wa india na morogoro ili niutumei kwenye kabustani kangu na umenipa elimu asaanti