Mkuu Kama uno serious kweli nataka nikupatie mtoto wa kimakonde au kimwera ambaye licha ya kukupikia kila siku na kukufulia pia atakuwa anakupa mapenzi mengi mpk uchanganyikiwe...mchawi pesa ya barua TU 50000,kanga ya mama mkwe na mazaga zaga kidogo Kama zawadi na wewe utambulike kwao Basi Tena wengi waislam atabadili kuja KWAKO Kama we mgalatia..week hiohio mnaanza maisha nakutafutia bonge ya pc huko rondo kwa kina bernad membe Kama uko serious njoo PM.nilikuwa na shida Kama yako Nika isolve vzr tu.