Mimi ni jinsia ya kike natafuta mchumba umri kuanzia 40yrs na kuendelea awe mwaminifu na mwelewa, mengi zaidi tutaongea ani PM kwa maelezo zaidi asiwe mume wa mtu,
Mungu tunataka kumsingizia mambo mengi sana.
naweza kukuambia kuwa kati ya waliooana nchi hii sidhani kama kuna ambao Mungu alimuonesha mtu kama ilivyokuwa enzi za agano la kale ambapo mtu anaambiwa nenda kisimani, mwanamke atakayechota maji na kukupa ndie mkeo. na inatokea hivyo.
siku hizi tunatongozana aafu tunaanza kusema Mungu kanifunulia!!
baada ya miaka miwili mmeachana. ina maana Mungu hakuona kuwa hamuendani?