Mi ni kijana mtanzania,mrefu kiasi,mweupe,Umri wangu ni miaka 32 sina Mtoto,nahitaji mwanamke alietayari na anaejitambua Umri wake usizidi miaka 36 alie tayari ani Pm tuongee vizuri au anitafute lamalunkanyemka311@gmail.com
Go on! But napenda ufahamu nipo seriuos ktk hili kama ni lazima uchangie kila post ili uvunje watu moyo ok go on! Sina mke wala mtoto,na nimeamua kutumia njia hii kwan nishahudhuria ndoa tatu watu wamekutana kupitia njia hii,tatizo hili sio wewe tunalo watz wengi hatuitumii ipasavyo hii mitandao tunabak tu oo mume utapata humu au mke utapata humu!