Natafuta mchumba

Khantwe, Honey Faith, Makoyo,...mnastahili adhabu. mwenzenu ameleta thread yake hapa ya kutafuta mwenza nyie mmeifanya ya kuelezana habari za sikukuu,, mawifi, mashemeji,, hadi mleta mada ameamua kukimbia..
 
Huyu jamaa atakuwa ametafuta mdada wa singida mwny kamzigo nyuma akakosa sasa anaomba msaada kujua kama wapo.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…