Enkaly JF-Expert Member Joined Aug 14, 2014 Posts 307 Reaction score 428 Aug 14, 2014 #1 Mimi kijana wa miaka 30, natafuta mchumba msomi aliyehitim chuo mwenye umri kuanzia miaka 23 hadi 26. Dini sichagui.. ukiwa tayari tuma CV yako!
Mimi kijana wa miaka 30, natafuta mchumba msomi aliyehitim chuo mwenye umri kuanzia miaka 23 hadi 26. Dini sichagui.. ukiwa tayari tuma CV yako!
Nokia83 JF-Expert Member Joined Jan 16, 2014 Posts 24,643 Reaction score 44,384 Aug 14, 2014 #2 Ww mbona hujaweka c.v yako....yani watu wasomeshe ww uje kuoa tu kiurahisi?
The bos JF-Expert Member Joined Feb 15, 2014 Posts 350 Reaction score 80 Aug 14, 2014 #3 Enkaly said: Mimi kijana wa miaka 30, natafuta mchumba msomi aliyehitim chuo mwenye umri kuanzia miaka 23 hadi 26. Dini sichagui.. ukiwa tayari tuma CV yako! Click to expand... Sasa mkuu miaka 30 uje jf kutafuta mke kwel uko seious mwishowe hata mtoto utatafuta fb baada ya miaka 40
Enkaly said: Mimi kijana wa miaka 30, natafuta mchumba msomi aliyehitim chuo mwenye umri kuanzia miaka 23 hadi 26. Dini sichagui.. ukiwa tayari tuma CV yako! Click to expand... Sasa mkuu miaka 30 uje jf kutafuta mke kwel uko seious mwishowe hata mtoto utatafuta fb baada ya miaka 40
Junior. Cux JF-Expert Member Joined Feb 3, 2011 Posts 5,319 Reaction score 3,797 Aug 14, 2014 #4 dah.... kazi kweli kweli
BIGURUBE JF-Expert Member Joined Mar 11, 2014 Posts 6,748 Reaction score 4,257 Aug 14, 2014 #5 Huyo mchumba unaetafuta awe wa jinsia gani na ww ni jinsia gani? Maana Kuna straight, lesbian na gays siku hizi.... Dunia imekwisha,
Huyo mchumba unaetafuta awe wa jinsia gani na ww ni jinsia gani? Maana Kuna straight, lesbian na gays siku hizi.... Dunia imekwisha,
HARUFU Platinum Member Joined Jan 21, 2014 Posts 31,704 Reaction score 48,142 Aug 14, 2014 #6 Mchumba unataka kumtafutia kazi?
mapengo junior JF-Expert Member Joined Jun 28, 2011 Posts 1,135 Reaction score 276 Aug 14, 2014 #7 atakuwa freemason huyu....maana hawa watu huwa hawaweki wazi mambo yao.