Natafuta mchumba


We mtoto bado unanuka maziwa eti na wewe unatafuta mchumba?
Yajue kiundani maisha kwanza ndio uanze kuhangaika na majanga.
 
Dogo, naona umekuja eneo ambayo hutawakuta! Ukipata hata pm shukuru Mungu!
 
Aise nina beki tatu wangu anataka kuolewa elimu yake ni std 7 je upo tayari nikuunganishie fasta maana hawa ndiyo wa level yako
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…