uwe mkubwa futi kumi na mbili kwa kumi na tato utoshe kuweka kitanda changu cha sita kwa sita maeneo ya sinza kodi iwe bei rahisi kidogo na umeme na maji viwe vya uhakika
uwe mkubwa futi kumi na mbili kwa kumi na tato utoshe kuweka kitanda changu cha sita kwa sita maeneo ya sinza kodi iwe bei rahisi kidogo na umeme na maji viwe vya uhakika
Kama Chumba kikubwa kinaitwa mchumba,then hicho unachotaka wewe ni zaidi ya mchumba ni mkubwa zaidi ya hapo,labda kama unataka Unyumba..(Nyumba kubwa)....kwani wewe ke au me????
kwani hapa maeneo yetu sinza unyumba ni kwa 'ke' tu.